Foundations 3

Mwaliko wa Yesu

Tunapoanza kuelewa Yesu ni nani na alifanya nini, inakuwa wazi kwamba tunahitaji kuchagua jinsi ya kuitikia kwake. Masomo haya yanasaidia kuhakikisha kwamba unajua kila kitu unachohitaji ili kufanya uamuzi huo mkubwa.