Kua mwanafunzi wa Yesu kunamaanisha nini? Maisha yako yanapaswa kuwa tofauti vipi sasa ikilinganishwa na kabla ya kukutana Naye? Masomo haya yanasaidia kujibu maswali yoyote ambayo unaweza kuwa nayo kuhusu kuwa mwanafunzi.
1
Mathayo 22: 36-40, Kumbukumbu 6: 4-9
2
Luka 7: 36-50
3
Waefeso 1: 3-8, Wagalatia 3: 26-4: 7
4
Luka 11: 1-13
5
Zaburi 19: 7-14, Mathayo 7: 24-27
6
Zaburi 23: 1-6
7
Luka 5: 1-11
8
Yohana 15: 1-17
9
Warumi 8: 1-18
10
Warumi 8: 26-39