Kama mwanafunzi wa Yesu, umepewa Roho Mtakatifu, na hii inakufanya kuwa kiongozi. Iwe ni Mungu anakuongoza uwe kiongozi kazini kwako, kanisani, au hata katika familia yako ni muhimu kufahamu Biblia inasemaje kuhusu uongozi. Somo hilo itakusaidia kuongoza kila siku.
1
Wafilipi 2: 1-11
2
Mathayo 23: 1-12
3
1 Petro 5: 1-11
4
Ezekieli 34: 1-16
5
Yohana 10: 1-18
6
1 Wathesalonike 1: 4-7, 2: 1-12
7
2 Timotheo 2: 1-7
8
Waefeso 4: 1-7, 4: 11-16
9
Matendo 20: 17-38
10
Warumi 12: 1-21
11
Tito 1: 5-9
12
Matendo 14: 21-23, 20: 17, 20: 28, Wafilipi 1: 1-6